NAIBU KATIBU MKUU WA UTALII, BW. MABULA AFANYA ZIARA TAFORI
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii aneshughulikia Masuala ya Utalii Bw. Nkoba Mabula amefanya ziara katika Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania […]
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii aneshughulikia Masuala ya Utalii Bw. Nkoba Mabula amefanya ziara katika Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania […]
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim amezindua “Mpango wa Kuendeleza Sekta ya Ufugaji Nyuki kwa Tanzania Iliyobora (Achia Shoka, […]
Matokeo ya utafiti yaliyofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania TAFORI katika kubaini sifa za asali kwenye uoto mbalimbali hapa nchini yamebaini uwepo wa […]
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amezindua rasmi leo hii maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani na kuwasihi wadau wa sekta ya nyuki […]
Urusi imejipanga kufanya mashirikiano na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) katika tafiti za kisayansi, elimu […]
Serikali ya Tanzania imewapokea wataalamu 10 kutoka Chuo Kikuu cha St. Petersburg, Russia 🇷🇺, waliowasili nchini leo kwa ajili ya ziara ya kubadilishana ujuzi na […]
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Paul Matiko Chacha amewataka Wananchi wanaotoka ndani na nje ya Mkoa wa Tabora kutumia fursa ya Warsha ya Kitaifa […]
TAFORI ikiwakilishwa na Dkt. Chelestino Peter Balama (Mkurugenzi wa Utafiti wa Misitu, na Mjumbe wa Kamati ya Mimea ya CITES kutoka Afrika), imeshiriki Mkutano wa […]
Socio-economic Factors, Policy and Governance Systems Influencing Multifunctional Landscapes
© 2026 Tanzania Forestry Research Institute. All Rights Reserved | Designed by TAFORI ICT Unit