Announcements
-
February 24, 2025 0
-
February 5, 2025 0
-
WHAT TO DO IF YOU HAVE A DRONE AND WANT TO VISIT TANZANIA
October 21, 2024 0 -
RELEASE OF A NEW TAFORI NEWSLETTER
April 14, 2023 0
Matokeo ya utafiti yaliyofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania TAFORI katika kubaini sifa za asali kwenye uoto mbalimbali hapa nchini yamebaini uwepo wa asali yenye sifa tofauti katika ubora ikiwemo ladha, rangi pamoja na viambata muhimu. Uwepo wa sifa hizi za asali umewezesha kutengenezwa kwa Alama ya Asali ya Tanzania (Honey Trademark) itakayoitambulisha asali hii ndani na nje ya nchi. Haya yameelezwa na Mhe. Balozi Dk. Pindi Chana Waziri wa Maliasili na Utalii wakati akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii katika Mwaka wa Fedha 2024/25, katika Kikao cha 27 [...]
WHAT TO DO IF YOU HAVE A DRONE AND WANT TO VISIT TANZANIA
RELEASE OF A NEW TAFORI NEWSLETTER
© 2025 Tanzania Forestry Research Institute. All Rights Reserved | Designed by TAFORI ICT Unit
ONE